Habari
AY ndani ya Tokyo – Moscow
Kwa taarifa zilizotufikia hapa Bongo5 kuwa Mzee wa Commercial AY anatarajiwa kudondoka ndani ya Russia katika jiji la Moscow na kufanya show kali ndani ya ukumbi wa TOKYO CLUB Jumamosi ya tarehe 18 Desemba mwaka huu.
Kwa mujibu wa kampuni itayompeleka AY ijulikanayo kwa jina la Hustlers Entertainment wameelezea kuwa AY atafanya shoo katika tamasha hilo lijulikanalo kwa jina la East Africa Bash.
Hivo washabiki wa muziki Moscow kaeni mkao wa kuruka hits zinazotamba ndani ya Africa kutoka kwa Mzee wa Commercial AY