Habari
Baada ya kimya cha miaka 21, Kris Kros watangaza kurejea tena!
Ni miaka 21 sasa imepita tangu Chris “Mac Daddy” Kelly na Chris “Daddy Mac” Smith waliokuwa wakiunda kundi la Kris Kros wasikike. Waliwahi kuhit na ngoma kibao ukiwemo Jump. Na sasa wametangaza kurejea tena ambapo wataperform kwenye sherehe ya kuadhimisha miaka 20 ya So So Def Recordings jijin Atlanta mwezi ujao.