Burudani

Baada ya kufungiwa wimbo wao wa Mwanza, Rayvanny na Diamond waachia ngoma nyingine mpya (+audio)

Baada ya misuko suko ya ngoma yao ya Mwanza kufungiwa na BASATA, hatimaye Rayvanny ameachia ngoma nyingine mpya ya TETEMA akiwa tena na Diamond Platnumz .

Mdundo wa mkwaju umegongwa na S2Kizzy kutoka katika studio za Sound From Pluto.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents