Burudani
Baada ya kupatana, tazama video ya ngoma mpya ya Jaguar na Prezzo hapa
Baada ya kupatana kwa wasanii heavyweights wawili Kenya, Jaguar na Prezzo wameachia video ya ngoma yao mpya inayoitwa ‘Timika’. Video imeongozwa na Enos Olik.
Baada ya kupatana kwa wasanii heavyweights wawili Kenya, Jaguar na Prezzo wameachia video ya ngoma yao mpya inayoitwa ‘Timika’. Video imeongozwa na Enos Olik.