Wachezaji na mashabiki wa Man City waanza sherehe za ubingwa mitaani (Picha)
Mashabiki na wachezaji wa klabu ya Manchester City wameanza kusherehekea ubingwa wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza mara baada ya hasimu wao timu ya Manchester United kukubali kipigo cha bao 1 – 0 dhidi ya West Brom.
Mashabiki wa Manchester City wakiwa wamejitokeza sehemu mbalimbali za mitaa wakisherehekea ubingwa wao wa ligi kuu ya Uingereza
Wachezaji wa klabu ya Manchester City wakiwa katika shamrashamra za sherehe za ubingwa
Manchester City , Vincent Kompany
Wachezaji wa Manchester City, Kyle Walker akiwa na Vincent Kompany
Baadhi ya vyombo vya habari vikiwa navyo vimeanza kuandika ubingwa huo, Manchester City inaongoza kwenye msimamo wa ligi kuu ya Uingereza kwa kuwa na jumla ya alama 87 dhidi ya 71 za Manchester United.
#ManCity #Champions2018 pic.twitter.com/lZeXqu0GtV
— Vincent Kompany (@VincentKompany) April 15, 2018