Videos
Baada ya wimbo alioshirikishwa wa pepeta kufanya vizuri, Rayvanny ameachia video ya Chuchumaa – Video
Baada ya wimbo alioshirikishwa wa pepeta kufanya vizuri, Rayvanny ameachia video ya Chuchumaa - Video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, ambaye yuko chini ya lebo kubwa ya muziki hapa Tanzania ya WCB ambayo inasimamiwa na Diamond Platnumz Rayvanny, ameachia video ya wimbo wake mpya ya Chuchumaa.
Video hiyo imefanywa na Director Kenny wa Zoom Production
By Ally Juma.