Burudani
Baba Levo amvaa Harmonize ‘Sipendi anavyojishindanisha na Diamond’ (Video)
Msanii wa muziki na mtangazaji wa Wasafi Fm @Babalevo amefunguka kuzungumzia kisa cha kuingia kwenye mgogoro wakutupiana maneno na msanii @harmonize kutoka lebo ya Konde Gang. Baba Levo amedai sio kweli kwamba ana mashambulia msanii huyo bali anamwambia ukweli kama kaka yake kwenye muziki.