Burudani

Baba Levo amvaa Harmonize ‘Sipendi anavyojishindanisha na Diamond’ (Video)

Msanii wa muziki na mtangazaji wa Wasafi Fm @Babalevo amefunguka kuzungumzia kisa cha kuingia kwenye mgogoro wakutupiana maneno na msanii @harmonize kutoka lebo ya Konde Gang. Baba Levo amedai sio kweli kwamba ana mashambulia msanii huyo bali anamwambia ukweli kama kaka yake kwenye muziki.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents