Burudani

Baba Mzazi wa Meja Kunta: Taarifa za kifo cha mtoto wangu nililetewa, kumpigia meneja wake akawa analia, nikaishiwa nguvu (Video)

Baba mzazi wa msanii wa Singeli, Menja Kunta amedai baada ya mtoto wake kuzushiwa kifo alimpigia meneja wa msanii huyo na GMaker, na meneja huyo alianza kulia kitu ambacho kimvunja nguvu zaidi. Mzee Mwarami amedai tukio lililotokea sio kiki kama watu wanavyodhani bali kuna kitu kimefanyika ambacho kila mtu asingependa kitokee.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents