Burudani
Barnaba kumuimbisha kiswahili Fally Ipupa
Mwanamuzki wa kizazi kipya Barnaba amesema anataraji kufanya wimbo mpya na mwanamuzki kutoka Kongo anayeishi nchini Marekani Fally Ipupa. Amesema mwanamukizi huyo ambaye ameshuka usiku wa jana, kwa show ya miaka 50 ya Uhuru, ambayo inatarajiwa kufanyika siku ya tarehe 9.
amesema mwanamuki huyo amekubali mwaliko huo wa kuimba na Barnaba kwakuwa tayari alishavutiwa na kipaji cha msanii huyo. Barnaba amesema kwamba nyimbo itaitwa kwa jina la Tuachane kwa wema, ambao wote ameutunga yeye, ana atajaribu kumshawishi mwanamuki huyo ambaye amejizolea umaarufu mkubwa Duniani, kuimba katika lugha ya kiswahili, ingawa maishaili mengine ataimba kwa lugha ya kwao.
Fally Ipupa