Burudani

BASATA wadai kufungia wasanii kumesababisha watishiwe kumwagiwa tindikali na kukatwa mapanga (Video)

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) wamesema mwaka 2019 wataendelea kupambana kwa hali na mali kuhakikisha wasanii wa muziki wanafuata taratibu kanuni na sheria za kufanya shughuliza sanaa nchini licha ya kukiri kukutana na changamoto kama za kutishiwa maisha kwa kukatwa katwa mapanga na kumwagiwa tindikali.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents