Burudani
BASATA wafunguka ishu ya kupokea lalamiko la Mavoko kunyonywa na WCB (Video)
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limesema limepokea mkataba wa muimbaji Rich Mavoko na WCB ambao unadaiwa kuwa ni wa ovyo ovyo. Katibu Mtendaji Godfrey Mngereza amesema mkataba huo wataupeleka kwenye kamati iliyoundwa na Waziri Mwakyembe kwaajili ya kuuangalia ambapo pia wamesema watauita uongozi wa WCB.
saramukwenu
bado ray nae nahisi ana jambo moyoni pia.
Si alienda mwenyew akae huko huko na iwe fundisho
Winston Edward wale ni watot wa mond kuondoka sio rahic kama barakha da Prince kwa ally kiba
Kilichoandikwa na interview ni tofauti sana kweli weledi wa waandishi umekwisha imebaki kiki ili habari isomwe
Ray hana akili ya kiuoga kama mavoko
Mavoko kazingua,kwan akijaza mkatab alikuw kafumba macho au ni akili hewa ya kushikiwa tu,usitafute kiki,nenda kapambane na hali yako,huko wcb umesha chemka