Burudani

BASATA wafunguka ishu ya kupokea lalamiko la Mavoko kunyonywa na WCB (Video)

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limesema limepokea mkataba wa muimbaji Rich Mavoko na WCB ambao unadaiwa kuwa ni wa ovyo ovyo. Katibu Mtendaji Godfrey Mngereza amesema mkataba huo wataupeleka kwenye kamati iliyoundwa na Waziri Mwakyembe kwaajili ya kuuangalia ambapo pia wamesema watauita uongozi wa WCB.

Related Articles

7 Comments

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents