Burudani
BASATA wamtaka Rayvanny na Diamond kuuondoa wimbo Mwanza mtandaoni, watishia kufungia Wasafi Festival (Video)
Baraza la Sanaa Taifa, BASATA limemtaka Rayvanny na Diamond kutufa wimbo ‘Mwanza’ mtandaoni “Tunawasiliana na mamlaka nyingine kutokana na sakata hili, lakini niseme wakijaribu kuutumia wimbo huu kwenye Wasafi Festival pamoja zile zingine zilizofungiwa tunauwezo wa kusitisha tamasha”