Burudani
Beca ‘Suspenda aja na We Love Becca.
R Kelly wa Bongo, anayejulikana kama Beca anatarajia kuachia kitu kipya kinachounguzwa pale Ngoma Record chini ya Producer Mzungu, mbaye ameamua kuonyesha machachari yake kwenye kutia vionjo vya biti hiyo.
Anasema wimbo huo utaitwa We love Bekka, yaani yeye ndiyoSuspenda, katika sauti basi kwake mmefika, ndiyo maana anajiita R Kelly wa Bongo