Beenie Man Naye Yumo!
Kuna gumzo kwamba msanii wa miondoko ya Dancehall ambaye yupo juu ile mbaya yupo mbioni kutua nchini Tanzania
Habari zilizotufikia hivi sasa ni kwamba kampuni ya Entertainement Masters imeamua kumleta Beenie Man kwa ajili ya onesho hapa bongo katika siku za karibuni.
Hatujajua ni lini na wapi litafanyika lakini habari kamili zikipatikana tuawaletea hapa hapa bongo5.com