Burudani
Beka Flavour afunguka baada ya wimbo wake ‘Sikinai’ kukopiwa nchini Rwanda ‘wamejitetea sana japokuwa nimefurahi’ (+video)
Msanii wa muziki wa Bongo Flavour, Beka Flavour amezungumza na Bongo5 kuhusu wimbo wake wa Sikinai kukopiwa na kundi maarufu nchini Rwanda la Dream Boyz.
Beka amesema kuwa baada ya wimbo huo kusambaa kundi hilo na uongozi wao wamempigia kumuomba radhi na kutaka wayamalize kimya kimya.
Kawaida tu ni ishara ya kuwa beka anafanya kazi Nzuri sana Ni sifa pia kwa TZ
https://youtu.be/OAAlrUt_Coo
Ni kwel bongo fleva inafika mbali sana