Michezo
Beki wa zamani wa Manchester Patrice Evra ampigia debe Ronaldo katika tuzo za Ballon d’Or
Beki wa zamani wa Manchester Patrice Evra ampigia debe Ronaldo katika tuzo za Ballon d'Or
Aliyekuwa beki wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa Patrice Evra ameamua kumpigia debe aliyekuwa mchezaji mwenzake wa Manchester United ambaye kwa sasa amesajiliwa katika klabu ya Juventus Cristiano Ronaldo.
Ikumbukwe kwamba Ronaldo anawania tuzo ya 6 ya mchezaji bora wa dunia,tuzo zinazotolewaga na jarida kutoka nchini Ufaransa, tuzo hizo ambazo zinatarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwaka huu.
Evra aliandika kuwa ” Usiwe na wivu,ni muda wa kumpatia kile anachostahili Goldengoal namba 6 ”
By Ally Juma.