Burudani

Belle 9 aja tena

Image
Mwanamuziki ambaye hana muda sana kwenye gemu lakini aliyeleta usumbufu wa hali ya juu kwenye uwanja wetu wa Bongo fleva, Belle 9, anazidi kufanya vyema na sasa amekaa vizuri kwenye kibao chake kipya cha ‘We ni wangu” ambacho amemshirikisha Mr Blue. Belle 9 anasema hiy ni ngoma kali zaidi kwenye ‘Club’ na ni moja ya zawadi yake kwa mashabiki wake wanaofagilia kula bata zaidi

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents