Burudani

Ben Pol akana kulipwa afanye kiki na Ebitoke, yale ni mahaba ya kweli (Video)

Msanii wa muziki Ben Pol amekanusha taarifa ambazo zinazagaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba alilipwa tsh milioni 3 na uongozi wa Timamu TV ili afanye kiki na mchekeshaji, Ebitoke. Muimbaji huyo amedai kila kitu ambacho kimetokea kwenye maisha yake akiwa na Ebitoke hakuna lichotengezwa huku akidai yote yalikuwa ni maisha yake halisi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents