Burudani

Ben Pol asaini mkataba wa usimamizi na Panamusiq

Ben Pol amesaini mkataba mpya wa usimamizi na kampuni ya Panamusiq Ltd.

benpal

Mkataba huo wa muda mrefu utashuhudia kampuni hiyo ikisimamia kazi zote za Ben Pol pamoja na kumpeleka afahamike kimataifa.

“The new partnership aims at developing Ben Pol into a sustainable global brand and consolidating his fame in Tanzania and across Africa. We expect to realize this plan through the production of great music, highly professional services and the co-operations with global brands and international music industry players,” yamesema maelezo ya kampuni hiyo.

Kampuni ya Panamusiq ilianzishwa katikati ya mwaka jana na tayari imeshafanya kazi na Vanessa Mdee.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents