Burudani
Ben Pol kuachia single mpya ‘Jikubali’ weekend hii
Baada ya kusumbua kwenye radio na Pete, muimbaji wa R&B na mkali wa viitikio nchini, Ben Pol, anatarajia kuachia single mpya iitwayo Jikubali.Ngoma hiyo inatarajiwa kuachiwa weekend hii.
Kwa mujibu wa watu walioisikia ngoma hiyo, Jikubali ni wimbo utakaofanya vizuri mwaka 2013.
“ILE NGOMA NILIOITABIRIA KUJA KUWA “ANTHEM YA VIJANA TZ” kwa mwaka huu na miaka ijayo kutoka kwa BEN POL…kwa mujibu wa habari za ndani…ni kwamba ITASKIKA HEWANI….JANUARI 19……JIKUBALI ndio jina la wimbo……JIKUBALI ndio kauli mbiu ya mwaka 2013….je, unajikubali mzeiyah,” ameandika Nchakalih.