Habari
Benki Kuu yawaonya wananchi wanaoidhihaki na kuikejeli fedha ya Tanzania
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewaonya Watanzania kuacha kuidhihaki na kuikejeli fedha ya Tanzania kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria.
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewaonya Watanzania kuacha kuidhihaki na kuikejeli fedha ya Tanzania kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria.