Habari

Benki ya NMB yaandaa semina ya ubunifu na ufundi kwa wajasiriamali wadogo wadogo (Picha)

Benki ya NMB yaandaa semina ya ubunifu na ufundi kwa wajasiriamali wadogo wadogo (Picha)

Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, akiangalia kazi za wabunifu wa mitindo wakati wa semina ya Ubunifu na Ufundi iliyofanyika Makao Makuu ya Benki ya NMB jijini Dar es Salaam.


Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (wa pili kushoto), akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wabunifu wa mitindo aliyeshiriki semina ubunifu na ufundi iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa wajasiriamali.


Mbunifu wa mavazi, Doris Mbwilo (kushoto), akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, wakati wa maonesho ya kazi za ubunifu na ufundi za wajasiriamali.

Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (kulia), akizungumza na mbunifu wa mavazi, Doris Mbwilo, wakati wa maonesho ya bidhaa za ubunifu na ufundi.

Baadhi ya wabunifu wa mitindo walioshiriki semina ya Ubunifu na Ufundi.

Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, Donatus Richard, akizungumza na wajasiriamali wa kazi za ubunifu na ufundi.

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents