Burudani

Beyonce na Jay Z kuachia album ya pamoja kupitia mtandao wa Tidal

Mwishoni mwa mwaka uliopita kulikuwepo na tetesi kuwa Beyoncé na Jay Z walikuwa studio kurekodi album yao ya pamoja.

1413128016021_wps_52_Beyonc_Knowles_and_Jay_Z_

Huenda mwaka huu album hiyo ikaingia sokoni.

Kwa mujibu wa DJ Skee, album hiyo ipo mbioni kukamilika na itatolewa kupitia mtandao wa TIDAL unaomilikiwa na Jay Z.

Tayari miradi kadhaa ya Jay Z na Beyonce imeshawekwa kupitia TIDAL peke yake ikiwemo video ya Glory na wimbo Die With You.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents