Burudani

Binti wa R. Kelly amkana baba yake sakata la unyanyasaji wanawake Kingono

Binti wa msanii maarufu wa muziki Marekani, R. Kelly, Joan Buku Abi Kelly ameamua kuweka wazi hisia zake juu ya sakata la unyanyasaji wanawake kingono linalomkabili baba yake.

Image result for R KELLY WITH bUKU ABI
Buku Abi na R. Kelly

Binti huyo kupitia ukurasa wake wa Instagram, amesema kuwa yeye na mama yake kama familia hawatajiingiza kwenye sakata hilo, kwani R. Kelly amekuwa akiitenga familia yake kwa muda mrefu.

Buku Abi, R. Kelly

Abi amedai kuwa sakata hilo la unyanyasaji kingono, yeye kama msichana limemuathiri sana anaposikia baba yake amefanya ukatili huo.

Buku Abi, R. Kelly

Mama mzazi wa Binti huyo mwenye miaka 20, Andrea Kelly ni moja ya watu walioonekana kwenye Docu-series ya ‘Surviving R. Kelly’ akielezea namna alivyonyanyaswa kingono.

Buku Abi, R. Kelly

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents