Burudani
Blac Chyna ajerea mtandaoni baada ya video yake ya ngono kuvuja
Mwanamitindo mwenye mbwebwe na tashititi zake Blac Chyna, amerejea mtandaoni na kuamua kupiga mkwara mzito kwa mashabiki zake.
Chyna aliyekubwa na balaa la kuvujishiwa mkanda wa ngono ambao unadaiwa alikuwa na mpenzi wake wa zamani Mechie, amerejesha na kishindo katika mtandao wa kijamii wa Instagram kwa kuachia picha zake na kupiga mkwara wa kufunga comment.