Michezo
Black Leopards ya Afrika Kusini kuwasili leo kwa mechi ya kirafiki na Yanga
Timu ya Black Leopards leo inaondoka nchini Afrika Kusini kuja jijini Dar es Salaam kwaajili ya mchezo wa kirafiki na Yanga utakaochezwa kesho kwenye uwanja wa taifa.
Timu hiyo itakuwa nchini kwa wiki moja ambapo baaadaye itaelekea Zanzibar kucheza na timu ya Super Falcon.