Technology

BlackBerry yakubali kununuliwa kwa $4.7 billion

BlackBerry jana imesema imekubali kuingia kwenye mkataba na kundi linaloongozwa na kampuni ya Fairfax Financial Holdings kuiuza kwa thamani ya dola bilioni 4.7.

blackberry_9900_bold_charcoal

Katika mkataba huo, wawekezaji watapokea dola 9 za cash kwa kila share.

Hata hivyo Blackberry ilisema itaendelea kutafuta namna zingine zinazowezekana wakati mazungumzo na Fairfax yakiendelea.

Ijumaa Blackberry ilitangaza kupunguza wafanyakazi 4,500 duniani kote.

Mkataba huo utamaliza hali ya sintofahamu inayoizunguka kampuni hiyo ambayo Ijumaa iliyopita ilionya kuwa ilipata hasara ya karibu dola bilioni 1.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents