Burudani
Bob Junior anataka kumtoa Baraka
Mwanamuziki na mtayarishaji wa muziki wa kizazi kipya Bob Junior ‘Mr Chocorate’ amesema hivi sasa anatarajia kumtoa kijana mpya katika tasnia ya muziki wa bongo fleva anayejulikana kwa jina la Mbaraka. amesema kijana ambaye anasoma kidato cha
kwanza Mwanza, amekuwa na uwezo wa juu hivyo anatarajia kufanya maajabu makubwa kwakuwa ni kawaida yake kutoa vipaji vipya na venye uwezo wa juu.