Bob Junior aongeza vifaa vipya kutoka UK
Yule mkali wa mauono stejini, mkali wa kuimba na makali wa kutengeneza beat, kutoka Sharobaro Record Bob Junior ‘Mr Chocorate Frevour’ amesema kuanzia sasa studio yake itakuwa na ubora wa kisasa baada ya kununua vifaa vipya alipokwenda Uingeleza. ansema vifaa alivyonunua pamoja na Microphon, Headphone 6 ambalo ni toleo la Dr Dre inayotumia kwaajili ya Mixture mastar, na mashine nyingine ikiwemo kuongeza phone za kuimbia, kwaajili ya kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja.
Alisema safari hiyo alikaa zaidi ya mwezi mmoja ilikupata vifaa vya kisasa zaidi, ilikuweza kwenda sawa na hali harisi ya muziki wa sasa na kutoa vitu vya kutisha katika muziki huu.
Mic tatu zikiwa sehemu moja, anasema hizo huweza kutumia watu hata wa bendi..
Rameck akionyesha moja ya kifaa alichorudi nacho Bob Junior kwaajili ya sound
Boksi la picha ya Dr Dre lililotoka head phone 6.
Baadhi ya vifaa vipya vya muziki vilivyonunuliwa , vikipendezesha meza ambayo nayo ameirekebisha na kutengeneza kubwa na yakisasa.
Moe One’s naye alikuwepo akijaribu kwa kutia ushahidi…