Burudani
Bobbi Kristiana kurejeshwa nyumbani, matumaini ya kupona yafifia
Bobbi Kristina anarudishwa nyumbani baada ya matumaini ya kupona kufifia.
Binti huyo wa Whitney Houston amekuwa mahututi hospitali tangu January mwaka huu baada ya kukutwa bafuni akiwa hajitambui.
Chanzo kimeuambia mtandao wa Radar Online:
“Wanapanga kumbakiza Georgia na pengine kumrudisha nyumbani.”
Hata hivyo baba yake, Bobby Brown anadaiwa kuupinga uamuzi huo.