Fahamu
Bomba litakuwa na urefu wa KM 1,445 – Rais Magufuli (+Video)
Uwekaji saini wa mkataba huu ni hatua muhimu, bomba litakalojengwa litakuwa na urefu wa KM 1,445 hivyo kulifanya bomba hili liwe refu zaidi kwa mabomba yanayotumia teknolojia ya kupasha joto duniani – RaisĀ Magufuli