Picha

Bongo Flava Inalipa: Nay wa Mitego anunua gari ‘jipya’ la mil 35 na bastola (picha)

Mwaka 2013 ni mzuri kwa rapper Nay wa Mitego. Licha ya kuwa na hit single hewani, Muziki Gani aliyomshirikisha Diamond, rapper huyo amenunua ndinga mpya aina ya Mark X yenye thamani ya shilingi milioni 35. Kama hiyo haitoshi, hitmaker wa Nasema Nao, amejihami pia kwa kununua bastola.

29ddba2cae6b11e2aeda22000a1f973b_7

Nay akiwa na bastola yake
Nay akiwa na bastola yake

Nay ameshare picha hizo kwenye Instagram na Facebook ambapo miongini mwa picha za gari lake ameandika, ‘My new car. Mark X, Zic z wat I nid.” Mwaka huu Nay ametumiwa kwenye show nyingi za Airtel na Vodacom ambazo huenda zimemwingizia mkwanja wa kutosha.

23a19536ae6e11e2942122000aaa0535_7

82d44f72ae6d11e2a2ce22000a1fa411_7

a2364980ae6b11e2b9ed22000a1f8cd8_7

d07e1cfaae6b11e2b09522000a1f9363_7

dc3c1784ae6d11e28c1022000a9e08e0_7

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents