Bongo Movie

Bongo Movies yapata viongozi wapya

Hivi karibuni Bongo Movies ilipata viongozi wake wapya katika uchaguzi uliofanyika Leaders Club jijini Dar es Salaam.

Viongozi wapya waliochaguliwa ni pamoja na Vincent Kigosi aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti Mkuu, Irene Uwoya Makamu wa Mwenyekiti , Chiki Mchoma Katibu Mkuu, Single Mtambalike aka Richie Richie alichaguliwa kuwa Mtunza Fedha Mkuu na Makamu wake kuwa Jackline Wolper.

Kutoka kushoto ni Chiki Mchoma, Ray na Jack Wolper
Mwenyekiti wa zamani wa Bongo Movies JB akimpongeza Jackline
Shilole akipiga kura
Irene Uwoya na Chiki

Picha kwa hisani ya Ray The Greatest

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents