Bongo5 Exclusives
Bongo5 Exclusive: Amini Afunga Ndoa
Msanii wa THT Amini, anayejiandaa kuangusha nyimbo yake mpya kwenye soko mapema mwezi ujao, amejiandaa vilivyo kwa ujio wake mpya ambao unahusisha video mpya ambamo yeye anafunga ndoa na mpenzi wake huku akimuimbia ‘Ni Wewe’.
Katika mahojiano na Bongo5, Amini amesema ndoa ni hatua muhimu sana na ameona inafaa kuhusisha wimbo wake huo wa ‘Ni Wewe’ kusisitiza Mapenzi yakukiri kwa ndoa.
Kuhusundoa yake yeye mwenyewe, amesema Bado yupo yupo kwanza. Mchizi anapiga mzigo wa muziki kwanza, issue zikikaaa freshi, basi itakua haina pingamizi suala hio.