Habari
BOT yautahadharisha umma na taasisi ya D9 Club
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yatahadharisha umma kuhusu upatu unaoendeshwa na taasisi ijulikanayo kama D9 Club inayotangaza kushawishi ununuzi wa hisa inafanya hivyo bila mamlaka husika.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo