Picha

Bowdown bit**es: Mange Kimambi atawanya mihela kitandani

Mjasiriamali na blogger maarufu nchini, Mange Kimambi amegeuka Beyonce na kuwaambia wasichana wanaohate mafanikio yake ‘Bowdown bit**es I got lots of money.’

Mange Kimambi

Kupitia blog yake yenye wasomaji wengi hasa wanawake, Mange ambaye kwa muda mrefu anaishi nje ya nchi na kurejea hivi karibuni akiuza aina ya nguo yaitwayo Bongolicious, amepost picha hizi na kuandika:

Finally, nimemaliza mahesabu ya leo…..Ngoja niingie kulala sasa… Arusha mmetishaaaaaa, nimewapendajeeeeeeeeee. “BOW DOWN BITCHES”…SHIKAMOO DADA MANGE WILL DO…….LOL. Ps: Nimewazidishiaje hasira????? Hehehehehehe.

Mange 2

And rumor has it that this boss lady is beefing with Sintah.
Katika Moja ya comments zinasema;

“Hahaha ki bibi sintah kimenunaje sasa hahah kusema kweli sintah anajishaua tena sana kama mdogo wake sabra yan wana midomo ya kinafki sana na hawana kitu kaz kujiona matawi na wakat no money in their pocket..khaaa hiyo mipesa yeye anaipata kwa mwaka..mxxiii..na ndo maana aliolewa Uganda na pia ana mtoto tena mkubwa kamuacha hukohuko..hv hamjiulizi kwa nin kila xaa yuko huko…anajishaua kwa kipi sasa hicho ki gar chake kimoja hhahha watu wana magar wana change kila siku…kha eti ana kaa sinza ptyuuuu,” ameandika msomaji mmoja.

mange 3

Hata hivyo si kila mmoja aliyekifurajia kitendo hicho.

“I love you so much, I always feel like I am your big sister. Please stop this, this is not classy at all. You are not ignoring them, just leave it alone and do you. I beggo Please. Please let go and let’s just talk about bongolious. Showing off the money and matusi is so unnecessary my sister. Please let’s focus on becoming billionaires,” ameandika mwingine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents