Michezo
Breaking: Kocha wa Simba Patrick Aussems athibitisha kufukuzwa kazi ya ukocha, Okwi atia neno
Breaking: Kocha wa Simba Patrick Aussems athibitisha kufukuzwa kazi ya ukocha, Okwi atia neno
Kupitia ukurasa wa Twitter wa kocha wa Simba Patrick Ausssems ameandika haya maneno kuwa:-
“ Kupitia bodi ya Mkurugenzi mkuu wa Simba wamemtaarifu kuwa kuanzia sasa mimi sio kocha wa @simbasctanzania tena”
The board of directors, through the CEO , just told me that I was no longer the head coach of Simba . pic.twitter.com/DlVjxkTNgz
— Patrick Aussems (@PatrickAussems) November 30, 2019
Chini ya post hiyo aliyewahi kuiwa mchezaji wa Simba Emannuel Okwi ametia neno na kuandika maneno haya:-
Very sad news coach 😢. Wish you all the best in your new journey!! God Bless you
— 風俗嬢の本音 (@EmmanuelOkwi) November 30, 2019
By Ally Juma.