Breaking: Lord Eyez akamatwa kwa kuiba spea za gari la Ommy Dimpoz
Muda mfupi uliopita Ommy Dimpoz ametweet picha hiyo juu na kuandika maelezo haya:
Pia kupitia BBM Ommy ameongeza kwa kuandika:
“Kwenye dp yangu sio ajali ni wezi wa power windows wakiongozwa na msanii mwenzangu wa bongo flava Lord Eyez ndo wameiba mpaka plate number tumeshamkamta lakini.”