Breaking: Lord Eyez akamatwa kwa kuiba spea za gari la Ommy Dimpoz

Lord Eyez baada ya kukamatwa akiiba

Muda mfupi uliopita Ommy Dimpoz ametweet picha hiyo juu na kuandika maelezo haya:

Pia kupitia BBM Ommy ameongeza kwa kuandika:

“Kwenye dp yangu sio ajali ni wezi wa power windows wakiongozwa na msanii mwenzangu wa bongo flava Lord Eyez ndo wameiba mpaka plate number tumeshamkamta lakini.”

Lord Eyez akiwa chini ya ulinzi

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents