Breaking News: Muigizaji mkongwe Mzee Majuto afariki dunia
Msanii mkongwe wa vichekesho Amri Athuman’ King Majuto’ amefariki dunia usiku huu baada ya kulazwa siku chache zilizopita katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar es salaam.
Mchekeshaji Joti ndio wa kwanza kutoa taarifa hizo kupitia mtandao wa instagram.
“R.I.P @Kingmajuto Umetuachia Maumivu Makubwa sana ktk Tasnia ya Comedy Tanzania Sisi wanao,Tutakukumbuka kwa kazi zako,Upendo wako,Tabasamu lako Daima milele,Tulikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi,Pumzika kwa Amani Mzee wetu,” aliandika Joti.
Mzee Majuto ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kwenye filamu alianza kuugua mwaka jana na mwaka huu serikali kwa kushirikana na wananchi walichanga pesa na kumpelekeka kwenye matibabu nchini India.
Muigizaji huyo alizaliwa mwaka 1948 jijini Tanga na kusoma shule Msambwini, Tanga, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 9.
INALILLAHWAINAILLAIHI RAJIUN…..MOLA AMUEKE PEMA PENYE WEMA
Inalillh wainailahi rajiun
Rip…
Rip
Rip
R I p
Inalillah wainailayhi rajuun
RIP!
RIP
Mbele yake nyuma yetu.
Inalillah wainaillah rajiun.
R.I.P mzee
R I P
Rip jomoni mzee wet
Maskin RIP
Innalilahi wainna ilahirajiun
R I P
Da!
Sad
R. I. P mzee wetu
Ahadi yake imetimia kila nafsi itaonja umauti
Rip
R.I.P King majuto
Inalillah wainailah rajuun
Apumzike mahala pema peponi amina
Inna lillah waina ilayhi raajiun
RIP king
RIP
R.I.p Mzee wetu majuto
RIP
R.I.P king
R. I. P
Dah… R.I.P mzee majuto tuta kukumbuka daima
Daah aise!!mungu amlaze mahalapema inshallah
Innalillah wainna ileihirajiun
R. I. P king
Pumzika mzee wetu,wale mliokuwa mnazusha kifo chake huko nyuma roho zenu zimefurahi,pigo hilo
R I P Mzee wetu
RIP our legend king
Rip
Ishala mwenyezi mungu ampumzishe kwa amani
Innaaa lillah wa innaaa ilayhiraajiun…
😭
R.I.P mzee wetu
Rest In Peace Mzee Majuto, love from ug
Rest in peace
R.I.P
R. I. P
Rest in peace Mzee Majuto
Pumzka kwa amani majuto
Ooooh RIP KING
Pumzika kwa amani
RIP Mzee,
Punzika baba umeugua mungu akupe kauli sabit
R.I.P
Uwongo
R.I.P
Duuuuh
Mwenyezi mungu ampe kauli thabiti
Ni kwel au
Inalilah waina Lilah rajun
Jamani
Pumzika kwaamani mzee wetu umeacha pengo kubwa kwa tanzania
Apumzike kwa Amani
rip
RIP KING
Inalilahi wa inailahi rajiun
King majuto
R.i.p mzee tutakukumbuka daima
RIP
Rip
Zamu Yangu Lini!
R.I.P
R. I. P mzee wetu
Allah aiweke roho yake mahala pema oeponi Ameen.
R. I. p
Rest in peac
Rip king majuto
Rest in peace mzee majuto
RIP king
r.i.p king majuto
Wooooiii
Pumzika kwa Amani
R.i.p king
Rest in peace
RIP
R.I.P
Rip
Inna lillah wainnaailayhirajiun
R. I. P
Ina lilahi wani eleih rajuni
Innalillahi wainnailaihi raajiuun
Pumzika kwa amani mzee wetu
Innalillah wa inna illah rajiun
R.l.P king
R I P mzee wetu
R.I.P
Rip
INNALILLAHI WAINNAH IYLAYHI RAAJIUUUN
RIP
Tutakukumbuka daima milele
Dah pumzka kwa amani king
upumzike kwa amani
Rip mzee
R.I.P
Kila Mara tukio kama hili linapotokea hunichukua dakika 240 kujiuliza kuhusu maana kifo. Huwa ninasononeka kiasi cha kuona ninachofanya hapa duniani hakina maana yoyote. Lakini huishia kwa kujifariji tu kuwa “lipo tumaini kwa waaminio katika Mungu kuwa Babu yetu Mzee Majuto amepumzika tu, ipo siku ataungana na familia yake na watanzania wote, kazi tuliyonayo kwa sasa ni kusahihisha njia zetu, tudumu katika yale ambayo Mungu ametuagiza kuyafanya duniani. R.I.P KING MAJUTO
R.I.P. Mungu Aiwek Nafs Yako Pema Pepon Amen
Pumzika kwa Amani mzee wetu amina
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amen
Rest in paradise legend. 🙏
Rip king
R*i*p mzee wg daima tutaku kumbuka
Inalillah wainailah rajuun hakika mbele ya
ke nyuma yetu
R.I.P
Dah! Innalillahi wainna ilayhi rajiuuun jaman dah kazi ya mungu haina makosa
RIP
Rip mzee wetu
R. I. P mzee wetu pumzika kwa amani
R.I.P. king
MHSRIP i liked his comedy
Apumzike pema
R. I. P
R.I.P king majuto
Nilimpenda
INNALI LLAH WAINALILLAH LAJAUN
Dah? tatzo la watanzania mtu akixhafkwa na umaut ndo mnapost na kumsfia kwa kla namna saiv kila mtu kapost kifo cha mzee majuto na kmpa kila sifa lakn kpnd yupo hai hakuna alyempost wala kumsifia tujiulze hii saport mnayoione kupost kifo mngekuwa mnaitoa kpnd anatoa kazi zake afadhal MUNGU MWENYE NGUVU AKUPOKEE MZEE MAJUTO.
KUL NAFS ZALKAUT MAUT
Rip mzee majuto ya Allah akuepushie adhabu ya kaburi Ameen🙏🏼🙏🏼
jmn kweli uyu mzee wetu katuacha daaaah
RIP mzee wangu
R.I.P king majuto moja ya wachekeshaj ambao niwe katika stuation yoyote ya uzuni,furah,uchov,stress, alikua akinichekesha dah!
RIP MZEE WETU
Mungu amupumzishe kwe peponi
Whaaaat?
RIP
R. I. P king majuto
RIP mzee majuto…
Daaah
Tutakukumbuka
😭😭😭😭
P.I.P
R.i.p king Majuto
R.I.P
Pole sana kabisa
on va te souvenir de plus
RIP 👑
R I p
Innalillah waina illah rajiun
Pole kwa wasani
Rip king majuto
Rip king site ni wasafiri
Rip
Dah! Hajapanda hata DREAMLINER 787-8… RIP Mkongwe
RIP KING majuto
Pole sana upande wetu Twakutakia safari njema Mungu akulaze pema peponi tulikupenda yeye kaku penda zaidi. RIP
Rip mze wetu
R. I. P
R.I.P
R I P 😅😅😅😅😢😢🙇🙇 mzee wetu
Pole Sana tunmukosa mushauri mzuri Mungu amraze pahari pema
Amna wakuziba pengo lako bongo movies tulikupenda sana ila mungu kukupenda zaid mzee we2 R.I.P
Ina lilahi waina ilahi rajiun
RIP
Rip
R.I.P mzee wetu Tulikupenda bali Mungu kakupenda zaidi…
Mbereyako nyumayetu
R.i.p baba
Innalilah wainna ilah rajioun Mwenyezi Mungu akupe kauli thabiti King Majuto
Ina lilah waina lilah rajhun
Aki mungu aiweke roho yake pema . napenda sana vichekesho vyake mzee majuto.
Innalillah wainna ileihi rajiun
R.I.P king majuto …from DRC
R.I.p
Anaacha watoto wangapi,wake wangapi ili watu wajuwe vizuri mabaki yake,R.I.P
R. I. P