Burudani
BSS Watembelea TBL
Meneja wa bia ya Kilimanjaro, Kavishe aliwakaribisha washiriki wa Bongo Star Search (BSS) walioingia kumi/bora na wale wa tano bora ambao watachuana Ijumaa wiki hii kupata mshindi, walipotembelea kiwanda cha kampuni ya bia Tanzania (TBL), leo. Wanne kulia ni Mpishi Mkuu wa Kilimanjaro, Kelvin Nkya.
Washiriki wa BSS walioingia tano bora wakiwa katika picha ya apamoja na Kavishe na Kelvin
Mpishi Mkuu akiwapa maelekezo kuhusu palivyo ndani ya kiwa nda hicho