Habari
Bunge kupokea maoni juu ya miswada ya sheria za ulindaji wa rasilimali za nchi
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Thomas Kashililah anautangazia umma kuwa tarehe 1 siku ya Jumamosi katika viwanja vya bunge mjini Dodoma, Kamati za bunge zitafanya zoezi la kukusanya maoni ya wadau.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo