Habari
Bunge lahairishwa rasmi hadi Septemba (+video)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amehairisha Bunge leo,Juni 29,2018 hadi tarehe 4 Septemba, 2018 Siku ya Jumanne) saa 3 kamili asubuhi.
Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati akihairisha hoja ya Bunge, Jijini Dodoma.
“Naomba kutoa hoja kuwa Bunge lako lihairishwe hadi tarehe 4,Septemba 2018 siku ya Jumanne saa kamili asubuhi tutakapo kutana tena hapa kwenye ukumbi huuwa jijini Dodoma, Mh. Spika naomba kutoa hoja,” amesema Waziri mkuu.