Habari
Bunge latoa ufafanuzi matibabu ya Mhe. Lissu
Ofisi ya Bunge imetoa ufafanuzi taarifa zinazo sambaa mtandaoni na baadhi ya wanasiasa zinaeleza kwamba Mhe. Spika ameliongopea bunge na Watanzania kuhusiana na gharama za kumsafirisha Mhe. Lissu kwenda mjini Nairobi nchini Kenya ambapo anafanyiwa matibabu. Ofisi ya Bunge imetolea ufafanuzi wa taarifa hizo.
Soma taarifa kamili: