Burudani
Burudani Miss Tanzania 2011
Katika kumtafuta mshindi wa Voda com Miss Tanzania 2011, kulikuwa na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali ambao kwa pamoja waliunganisha nguvu zao na kutoa bunge la burudani kwenye viwanja hivyo vya Mlimani City, ambapo aliibuka mrembo mwenye namba 28.
Miongoni mwa wasanii ambao walikuja kufanya Show, ni Juliana wa Uganda, Akili, Saraha, Jah man, Babo Junior, Diamond, Tht na madencer huku wakiongozwa na Michael Jackson wa Bongo ambao kwa pamoja walifanya vizuri.