Msanii Cabo Snoop kutoka Angola jana amefanya mambo makubwa kwenye viwanja vya Leader Club katika tamasha la Zantel la Epiq Nation. Msanii huyo ambaye anatamba na wimbo wa Prakata Tumba, alisisimua shangwe kwa mashabi wake pindi alipopanda jukwaani
Adama Mchovu aka baba Johnny akiwa maduu katika pozi la pamoja.
Diamond alijirusha toka jukwaani hadi chini kufuata mashabiki wake, lakini ikawa balaa walivyomgombania kila mmoja akitaka kumshika.
Hapa Diamond akiimba kabla ya kushuka jukwaani………..
Jokate akimuhoji Diamond
Mwimbaji kutoka THT, Mataluma .
Kizazi kipya cha muziki wa Bongo Fleva wakiwa kwenye pozi la pamoja.
Cabo Snoop akifanya vitu jukwaani
{hwdvs-player}id=1644|width=560|height=340|tpl=playeronly{/hwdvs-player}
{hwdvs-player}id=1645|width=560|height=340|tpl=playeronly{/hwdvs-player}