Burudani
Cassper Nyovest na K.O waongoza kwa nomination nyingi kwenye tuzo za Afrika Kusini, SAMA
Wasanii wa Hip Hop, Cassper Nyovest na K.O wamepata nominations nyingi zaidi kwenye South African Music Awards, SAMA.
Cassper Nyovest, K.O na Beatenberg watapambana vikali kwenye tuzo hizo kumtambua msanii anayependwa zaidi nchini humo.
Watatu hao wametajwa kwenye vipngele vya Best Hip Hop, Best Album, Best Male Artist , Best Pop Album, Best Collaboration, Best Album, Best Duo/Group na Best Newcomer.
Naye rapper AKA ametajwa kuwania vipengele vya Best Collab, Best Rap Albumna Best Male Artist.