Burudani
Casto: Nivumilie matusi ya mtoto wangu Patrick anaumwa nishindwe msiba wake? (Video)
Mtangazaji wa Clouds TV kupitia kipindi cha Siz Kitaa, Casto Dickson amefunguka kwa mara ya kwanza namna alivyoweza kuwa mavumilivu wakati mtoto wake Patrick anaumwa mpaka anafariki.