CCM wawachinjia baharini wasanii wa Bongo Fleva, wadai hawatawatumia tena kwenye kampeni zao
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa kwenye kampeni zake za chaguzi zijazo hawatatumia tena wasanii wa muziki wa Bongo Fleva badala yake watatumia bendi ya TOT kwani nyimbo zao zina ujumbe mahususi kwa Watanzania.
Akiongea na Waandishi wa Habari Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru Ally akifungua kikao cha Baraza kuu la UVCCM jijini Dodoma leo Agosti 30, 2018 amesema CCM haitakuwa tena na bajeti ya wasanii kwenye kampeni zijazo.
“Hatutakuwa na bajeti ya wasanii tena, hakuna. Tutabaki na TOT tutaendesha chombo chetu kile kama alama na vijana JAZZ basi, tukienda Arusha tutawakuta wasanii kule. Wataimba mashairi watacheza ngoma. Nilipofika hapa makao makuu niliwakuta watu wanapiga zeze hapa inapendeza sana kuliko haya ya kuruka ruka na kucheza cheza sio mabaya, lakini kikubwa sio haya ya kuruka ruka ila ujumbe uliopo mule, hisia zinazotokana na wimbo ule.“amesema Dkt. Bashiru.
Kwenye kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2015, CCM iliwatumia wasanii wa Bongo Fleva kibao ikiwemo Diamond Platnumz, Alikiba, Fid Q na wengineo.
Fally ipupa(Canne a sucre) new video
Dadju lionne new video
Redsan set to launch his album. Tiwa savage to perform at the ocassion
Fally ipupa ameahirisha Tookos tour yake kwa sababu zisizoepukika
Kuna Tatizo Qwan
MAKALA: Kuna sehemu flani ya video ya Mavoko mtu anaulizwa unahisi wewe ni msafi unahisi hili ni dongo kwa Wcb?
Sio dongo ila anadhihirisha yeye sio rijali
Vizuri sana wale wasani wenye njaa watatia adabu na njaa zao
Ata mkiacha
Huyo hta akidic ajue habar yake kwisha, wako wap Bob junior, ommy dimpo, q boy na hata huyo mfalme wao kiba? #Wcb ni moto wa hatar
Kweli kabisa na hii itawapa fursa wananchi kusikiliza sera kwa umakainia na kupima kiongozi bora kuliko kuwa na miemko ya nguvu za kifedha kama kuleta wasanii wakubwa katika kampeni.
Wanashida gan sasa hata wakiacha