Habari
CCM yatoa taarifa kuhusu uteuzi wa wagombea nafasi za wenyeviti wa wilaya za kichama
Taarifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhusu uteuzi wa wagombea nafasi ya Wenyeviti wa Wilaya za Kichama za Moshi mjini, Hai, Siha, Makete, Musoma mjini na Musoma vijijini.
Soma taarifa kamili: