Habari
Chadema walaani mauaji Kibiti
Mwanyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kinalaani mauaji yanayoendelea katika mkoa wa Pwani.
Mhe. Mbowe amesema hayo leo ambapo amesema msimamo wa Chama hizo ni kulaani mauji kwa nguvu zote.
“Sisi kama Chama tunalaani mauaji yanayoendelea katika mkoa wa Pwani, msimamo wa Chama ni tunalaani mauaji kwa nguvu zote.” ameteet Mbowe kupitia ukurasa wake wa Tweeter.
Na Emmy Mwaipopo